Mohammad Abunahel

Mohammad Abunahel ni mwandishi wa habari wa Palestina na mfasiri, kwa sasa anasomea Shahada yake ya Uzamili katika mawasiliano ya watu wengi na uandishi wa habari katika Chuo Kikuu cha Tezpur nchini India. Nia yake kuu ni katika kadhia ya Palestina; ameandika makala nyingi kuhusu mateso ya Wapalestina chini ya utawala wa Israel. Anapanga kusomea Shahada ya Uzamivu baada ya kuhitimu Shahada yake ya Uzamili.

Tafsiri kwa Lugha yoyote