Makumbusho ya Palestine Marekani Yatangaza Maonyesho ya "Wageni Katika Nchi Yao" huko Venice, Italia.
Maonyesho haya yanayoshirikisha kazi za wasanii 27 yanalenga kuangazia mapambano yanayowakabili watu wa Palestina chini ya utawala wa Israel, utawala wa kibaguzi na mauaji ya kimbari yanayoendelea Gaza. #DuniaZaidi yaVita