Huku Tishio la Vita vya Nyuklia likizidishwa na uvamizi wa Ukraine, Sasa ni Wakati wa Kusimama kwa Amani.
Matokeo mabaya zaidi ya vita vya Ukraine pengine yangekuwa vita vya nyuklia. Hamu ya watu ya kulipiza kisasi kutokana na vita hivi inazidi kuimarika siku hadi siku.