Japani Yatangaza Okinawa "Eneo la Mapambano"
Tarehe 23 Desemba mwaka jana, Serikali ya Japan ilitangaza katika tukio la "Hatari ya Taiwan" jeshi la Marekani litaweka safu ya vituo vya mashambulizi katika "visiwa vya kusini-magharibi" vya Japan kwa msaada wa Vikosi vya Kujilinda vya Japan.